Albert Mangwea ni Mngoni kutoka Songea, alizaliwa Mbeya Novemba 16 1982 kisha 1987 wazazi wakahamia Morogoro ambako familia iko mpaka leo.
Alianza kuandika verse yake ya kwanza mwaka 1996, album yao ya kwanza waliipeleka kwa MAMU mwaka 1998 yeye na Mez B wakiwa form two.
Ngwea aliingia studio mara ya kwanza Marimba Studio, album yao ya kwanza na Mez B inaitwa 'Heshima kwa wote' wakimshirikisha Dudubaya
Unaweza kushea post hii na wengine wapate taarifa mtu wangu, Usimamizi wa utoaji wa taarifa hizi unafanywa na fastjet Vodacom Tanzania na CRDB Bank Plc
Alianza kuandika verse yake ya kwanza mwaka 1996, album yao ya kwanza waliipeleka kwa MAMU mwaka 1998 yeye na Mez B wakiwa form two.
Ngwea aliingia studio mara ya kwanza Marimba Studio, album yao ya kwanza na Mez B inaitwa 'Heshima kwa wote' wakimshirikisha Dudubaya
Unaweza kushea post hii na wengine wapate taarifa mtu wangu, Usimamizi wa utoaji wa taarifa hizi unafanywa na fastjet Vodacom Tanzania na CRDB Bank Plc
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni