Basi dogo aina ya Hiace iliyokua imebeba abiria, imegongana uso kwa uso na Toyota Land Cruiser majira ya asubuhi maeneo ya uyole wilayani Mbeya, na kusababisha vifo vya watu kadhaa.
Mashuhuda wamesema waliiona Land cruise ikiyumba yumba baada ya kumkwepa mkulima aliekuwa akivuka barabara na kuishia kuvaana na Hiace hiyo. Mpaka sasa watu zaidi ya nane wanaofiwa kufa na wengine kadhaa wamejeruhiwa.
Mashuhuda wamesema waliiona Land cruise ikiyumba yumba baada ya kumkwepa mkulima aliekuwa akivuka barabara na kuishia kuvaana na Hiace hiyo. Mpaka sasa watu zaidi ya nane wanaofiwa kufa na wengine kadhaa wamejeruhiwa.
Miili ya watu waliofariki ikiwa imefunikwa
baada ya kutolewa ndani ya Hiace
baada ya kutolewa ndani ya Hiace
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni