Ijumaa, 26 Julai 2013

MR NICE apata shavu la mkataba wa mwaka 1 lebo ya CANDY & CANDY REC Nairobi-Kenya



Mr Nice amepata shavu la mkataba wa mwaka mmoja katika Record Lebo inayoenda kwa jina la Candy&Candy Records ya nchini Kenya. Hii ni baada ya GrandPa Rec nayo ya nchini kusitisha mkataba nae nakudai kuwa Mr nice alikuwa mvivu na mlevi kitu ambacho Mr Nice amekanusha wakati akisaini mkataba huo mpya nakusema GrandPa Rec ni waongo.

Mr Nice na CEO wa Candy&Candy Records anayeenda kwa jina la Joe Kairuki

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni